Muonekano wa Misingi ya Daraja la Mto huo, huku kivuko kilichozama kikionekana kulia. |
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,
Kazi, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama,Bi. Jenista Mhagama akatoa ufafanuzi
ndani ya Bunge leo January 28,2016, kwamba ni kweli ajali hiyo imetokea, kivuko
kimezama kikiwa kimepakia watu na magari.
Waziri
Mhagama amesema watu 30 wameokolewa kati ya watu 31, jitihada zinaendelea
kuokoa watu pamoja na mali.
|
No comments:
Post a Comment