![]() |
Mapema ,
Real Madrid iliichapa Getafe Bao 4-1 kwa Bao za Kipindi cha Kwanza za Karim
Benzema, Bao 2, Gareth Bale na Cristiano Ronaldo huku Bao la Getafe likifungwa
Dakika ya 70 na Alexis Ruano Delgado.
Atletico
Madrid waliifunga Granada 2-0 kwa Bao za Diego Godin na Antoine Griezmann na
kubaki Nafasi ya Pili wakiwa Pointi 2 nyuma ya Barcelona na Pointi 2 mbele ya
Timu ya 3 Real.
Valencia
wapo Nafasi ya 7.
|
![]() |








No comments:
Post a Comment