Makamu Mwenyekiti wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Profesa Abdallah Safari ambapo Maamuzi ya kupitisha wagombea hao
yamesainiwa na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, Makamu
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Profesa Abdallah
Safari, Katibu Mkuu wa chama cha National League for Democracy (NLD), Tozzy
Matwanga na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Twaha Taslima.
VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya
Wananchi (UKAWA) vimetangaza majina ya wagombea ubunge katika majimbo 262 huku
majimbo matatu ya Mtwara Mjini, Serengeti na Mwanga yakisubiri muafaka.
Majimbo matatu yaliyobaki katika
majadiliano baada ya kujitokeza wagombea wawili kwa kila jimbo huku kila
mgombea akidai anakubalika kuliko mwenzake, ingawa vyama hivyo vilishayagawa
majimbo hayo kwa chama kitakachogombea.
Jimbo la Serengeti wamejitokeza
Marwa Ryoba (Chadema) na Mosena Nyambabe (NCCR-Mageuzi), jimbo la Mwanga
wamejitokeza Henry Kilewo (Chadema) na Youngsaviour Msuya (NCCR-Mageuzi) na
Mtwara Mjini wamejitokeza Maftaha Nachuma (CUF) na Hassani Uledi
(NCCR-Mageuzi).
Wakati huohuo, majimbo ya Segerea na
Kigamboni ya jijini Dar es Salaam tayari yamefanyiwa maamuzi kwa Julius Mtatiro
(CUF) kubaki ndiye mgombea Segerea na Lucy Magereli wa Chadema kuwa mgombea
jimbo la Kigamboni.
Akizungumza na waandishi wa habari
leo Dar es Salaam, wakati akitangaza majina hayo Katibu wa NCCR-Mageuzi, Dk.
George Kahangwa amesema baada ya maamuzi hayo, haitarajiwi kutokea matatizo ya
mivutano kwa viongozi wa ngazi ya mikoa hadi matawi wa vyama vya UKAWA.
“Hatutarajii kuona viongozi wetu wa
ngazi zote hasa zile za mikoa, wilaya, kata na matawi wanakuwa kikwazo cha
kuyafikia malengo ya kuwakilishwa na mgombea mmoja,” amesema.
“Mgombea yeyote ambaye chama chake
hakijaachiwa jimbo analogombea anatakiwa kujitoa katika nafasi yake hiyo na
kumwachia mgombea wa chama kilichoachiwa jimbo hilo na kumpatia ushirikiano
katika kampeni na utaratibu wa uchaguzi ili tushinde,” amesema Dk. Kahangwa.
Aidha, amesema viongozi kutoka vyama
hivyo katika ngazi zote wanapaswa kuzingatia mwongozo wa awali uliosainiwa na
Makatibu Wakuu wa vyama hivyo kuhusu kusimamisha wagombea katika nafasi ya
udiwani.
Wakati muongozo huo ulipotolewa,
viongozi hao walisema kwamba pale patakapokuwa na mvutano hata baada ya maamuzi
ya jimbo limeachiwa chama gani kufanywa, basi viongozi wa kitaifa watakapokuwa
kwenye kampeni, watazingatia maamuzi hayo na kuwatakia kura waliopitishwa
kulingana na maamuzi yale.
WAGOMBEA
UBUNGE WA UKAWA KATIKA KILA JIMBO LA TANZANIA BARA.
MARA
1.
Rorya
CDM STEVEN J OWAWA
2.
Tarime Mjini CDM ESTHER N MATIKO
3.
Tarime Vijijini CDM JOHN HECHE
4.
Serengeti CDM/NCCR MARWA
RYOBA/MOSENA J.NYAMBABE
5.
Musoma Vijijini CDM ZAKARIA MBULA
CHIRAGWILE
6.
Butiama
CDM YUSUPH R KAZI
7.
Bunda Mjini CDM ESTHER
BULAYA
8.
Mwibara
CDM HARUN D. CHIRIKO
9.
Musoma Mjini CDM VINCENT J NYERERE
10.
Bunda Vijijini CDM SULEIMAN DAUDI
SIMIYU
1.
Bariadi
CDM GODWIN SIMBA
2.
Maswa magharibi CDM ABDALA PATEL
3.
Maswa mashariki CDM SYLVESTER
KASULUMBAYI
4.
Kisesa
CDM MASANJA MANANI
5.
Meatu
CDM MESHACK OPULUKWA
6.
Itilima
CDM MARTINE MAGILE
7.
Busega
CUF JUMA A MAGOMA
SHINYANGA
1.
Solwa
CDM JAMES MSHANDETE
2.
Msalala
CDM PAUL MALAIKA
3. Kahama Mjini CDM
LEMBELI JAMES
3.
Kahama Vijijini CDM SIMON BUKAKIYE
ISAYA
4.
Shinyanga Mjini CDM PATROAS PASCHAL
K
5.
Kishapu
CDM FRED MPENDAZOE
MWANZA
1.
Ukerewe
CDM JOSEPH MKUNDI
2.
Magu
CDM KALWINZI NGONGOSEKE
3.
Nyamagana
CDM EZEKIA D. WENJE
4.
Kwimba
CUF JULIUS S OTTO
5.
Sumve
CUF RICHARD M NTUNDURU
6.
Buchosa
CDM MARTINE KASWAHILI
7.
Sengerema
CDM FRANSISCO SHEYJAMABU
8.
Ilemela
CDM HIGHNESS KIWIA
9.
Misungwi
CDM LEONIDAS KONDELA
GEITA
1.
Bukombe
CDM PROF. KULIKOYELA KAHIGI
2.
Busanda
CDM ALPHONCE C MAWAZO
3.
Geita Vijijini CUF SEVERINE M MAGESE
4.
Nyang’wale
CDM RICHARD MABULA
5.
Chato
CDM DR. BENEDICT LUKANIMA
6.
Mbogwe
CDM NICHOLAUS H MAGANGA
7.
Geita
Mjini CDM RODGERS LUHEGA
KAGERA
1.
Karagwe
CDM PRINCE RWAZO
2.
Kyerwa
CDM BATRINIHO LADISLAUS
3.
Bukoba Mjini CDM WILFRED LWAKATARE
4.
Bukoba Vijijini CUF BUBELWA KAIZA
5.
Nkenge
NCCR ANGELINA MUTAHIWA
6.
Muleba Kaskazini CDM ANSBERT NGURUMO
7.
Muleba Kusini CDM ALISTIDES KASHASILA
8.
Biharamulo
CDM DR. ANTHONY MBASSA
9.
Ngara
NCCR HELENA ADRIAN GHOZI
MBEYA
1.
Lupa
CDM NJELU KASAKA
2.
Songwe
CDM MPOKI MWANKUSYE
3.
Mbeya Mjini CDM JOSEPH MBILINYI
4.
Kyela
CDM ABRAHAM MWANYAMAKI
5.
Rungwe
CDM JOHN D MWAMBIGIJA
6.
Busekelo
CDM BONIPHACE A MWAMUKUSI
7.
Ileje
NCCR EMMANUEL MBUBA
8.
Mbozi Mashariki CDM PASCHAL HAONGA
9.
Momba
CDM DAVID E SILINDE
10.
Mbarali
CUF GAMDUST HAJI
11.
Mbeya Vijijini CDM ADAM NZELA
12.
Tunduma
CDM FRANK MWAKAJOKA
13.
Vwawa
CDM FANUEL MKISI
IRINGA
1.
Ismani
CDM PATRICK OLE SOSOPI
2.
Kalenga
CDM MUSSA L MDEDE
3.
Mufindi kaskazini CDM JUMANNE K
MASONDA
4.
Mufindi Kusini CDM FRANK MALATA
5.
Iringa
Mjini CDM PETER MSIGWA
6.
Kilolo
CDM BRIAN KIKOTI
7.
Mafinga Mjini CDM WILLE MUNGAI
NJOMBE
1.
Njombe Kusini CDM EMMANUEL MASONGA
2.
Lupembe
CDM EDWIN E SWALE
3.
Wanging’ombe CDM DISMAS A LUHWAGO
4.
Makete
CDM JACKSON T MOGELA
5.
Ludewa
CDM ATHROMEO MKINGA
6.
Makambako
CDM MHEMA
RUKWA
1.
Nkasi Kusini CDM ALFRED DANIEL
SOTOKA
2.
Kwela
CDM DANIEL NAFTAL NGOGO
3.
Nkasi Kaskazini CDM KESSY SOUD
4.
Sumbawanga Mjini CDM SADRICK MALILA
5.
Kalambo
CDM VICTOR MATENI
TANGA
1.
Handeni Mjini CUF REMMY A SHUNDI
2.
Handeni Vijijini CUF ROBINSON R
KILANGO
3.
Kilindi
CDM JERADI K MREMA
4.
Pangani
CUF AMINA M MWIDAU
5.
Tanga Mjini CUF MUSSA B
MBAROUK
6.
Muheza
CDM ERNEST MSINGWA
7.
Bumbuli
CDM DAVID CHENYEGOHA
8.
Mlalo
CUF GOGOLO SECHONGE
9.
Lushoto
CUF ADAM KAONEKA
10.
Korogwe Mjini NCCR ROSE MICHAEL
LUGENDO
11.
Korogwe Vijijini CDM EMMANUEL KIMEA
12.
Mkinga
CUF BAKARI K MBEGA
KILIMANJARO
1.
Rombo
CDM JOSEPH SELASIN
2.
Mwanga CDM/NCCR HENRY KILEWO/
YOUNGSAVIOUR MSUYA
3.
Same Magharibi CDM CHRISTOPHER S
MBAJO
4.
Same mashariki CDM NAGENJWA KABOYOKA
5.
Vunjo
NCCR JAMES F. MBATIA
6.
Moshi Vijijini CDM ANTHONY C KOMU
7.
Moshi Mjini CDM JAFARY P
MICHAEL
8.
Hai
CDM FREEMAN A MBOWE
9.
Siha
CDM DR. GODWIN MOLLEL
ARUSHA
1.
Arumeru Mashariki CDM JOSHUA NASSARI
2.
Arumeru Magharibi CDM GIBSON
MESIYEKI
3.
Arusha Mjini CDM
GODBLESS LEMA
4.
Longido
CDM OLE NANGOLE
5.
Monduli
CDM JULIUS KALANGA
6.
Karatu
CDM WILLE QAMBALO
7.
Ngorongoro
CDM ELIAS NGORISA
MANYARA
1.
Simanjiro
CDM JAMES OLE MILLYA
2.
Mbulu Vijijini CDM MIKEL PETRO AWEDA
3.
Hanang
CDM MAGOMA RASHID DERICK
4.
Babati Mjini
CDM PAULINE P GEKUL
5.
Babati Vijijini CDM LAURENT TARRA
6.
Kiteto
CDM KIDAWA ATHUMANI IYAVU
7.
Mbulu Mjini CDM PAULO
HERMAN SULLE
DAR ES SALAAM
1.
Ubungo
CDM SAED KUBENEA
2.
Kawe
CDM HALIMA JAMES MDEE
3.
Kinondoni
CUF MAULID SAID
4.
Segerea
CUF JULIUS MTATIRO
5.
Ukonga
CDM MWITA WAITARA
6.
Ilala
CDM MUSLIM HASSANALI
7.
Temeke
CUF ABDALLA MTOLEA
8.
Kigamboni
CDM LUCY MAGERELI
9.
Kibamba
CDM JOHN JOHN MNYIKA
10.
Mbagala
CUF KONDO J BUNGO
PWANI
1.
Bagamoyo
CUF DR. ANDREA KASAMBALA
2.
Chalinze
CDM MATHAYO TM. TORONGEY
3.
Kibaha Mjini CDM MICHAEL PAUL MTALY
4.
Kibaha Vijijini CDM KINABO EDWARD
KINABO
5.
Kisarawe
CUF RASHID M MZANGE
6.
Mkuranga
CUF ALLY UBUGUYU
7.
Rufiji Utete
CUF KULUTHUMU MCHUCHULI
8.
Mafia
CUF OMARY A KIMBAU
9.
Rufiji
Kibiti CUF ABDALLAH M ISMAIL
MOROGORO
1.
Gairo
CDM SALIM YUSUPH MPANDA
2.
Kilosa
CUF ABEID H MLAPAKOLO
3.
Mikumi
CDM JOSEPH HAULE
4.
Morogoro Kusini CDM DAVID
LUKAGINGIRA
5.
Morogoro Mashariki CUF SALAMA O
AWADH
6.
Kilombero
CDM PETER KIBATALA
7.
Mlimba
CDM SUZAN L. KIWANGA
8.
Mvomero
CDM OSWALD MLAY
9.
Ulanga Magharibi CDM ALPHONCE MBASSA
10.
Ulanga Mashariki CDM PANCRAS KONGOLI
11.
Morogoro Mjini CDM MARCOSSY ALBANIE
DODOMA
1.
Kondoa Mjini CUF YASIN S BAKARI
2.
Kondoa Vijijini CUF ALLY B KAMBI
3.
Chemba
CUF ROGATH A MHINDI
4.
Kibakwe
CDM MSAFIRI MZINGA
5.
Mpwapwa
CDM BARAKA
6.
Kongwa
CDM ESAU NGOMBEI
7.
Dodoma Mjini CDM SINGO BENSON
KIGAILA
8.
Bahi
CDM MATHIAS LYAMUNDA
9.
Chilonwa
CDM JOHN CHOGONGO
10.
Mtera
CDM CHRISTOPHER NYAMWANJI
SINGIDA
1.
Iramba magharibi CDM JESCA KISHOA
2.
Iramba mashariki CDM OSCAR KAPALALE
3.
Singida kaskazini CDM DAVID DJUMBE
4.
Singida Mashariki CDM TUNDU A LISSU
5.
Singida Magharibi CDM MARCO ALLUTE
6.
Manyoni magharibi CDM LUPAA DONALD
7.
Manyoni Mashariki CDM ALLUTE
EMMANUEL
8.
Singida Mjini CDM MGANA MSINDAI
TABORA
1.
Bukene
CUF DR. GODBLESS MAGULA
2.
Nzega Mjini CDM CHARLES
MABULA
3.
Nzega Vijijini CUF KHAMIS IDD KATUGA
4.
Igunga
CDM NG’WIGULU KUBE
5.
Igalula
CUF MOHAMED S A MERJIBI
6.
Tabora Kaskazini CUF REHEMA H
BUSHIRI
7.
Urambo
CDM SAMWELI NTAKAMLENGA
8.
Kaliua
CUF MAGDALEN SAKAYA
9.
Ulyankulu
CDM DEUS NGERERE
10.
Sikonge
CDM HIJJA RAMADHANI
11.
Tabora Mjini CUF PETER S. MKUFYA
12.
Manonga
CDM ALLY KHALFANI NGUZO
KATAVI
1.
Mpanda Mjini CDM JONAS KALINDE
2.
Mpanda Vijijini CDM MUSSA MASANJA
3.
Katavi
CDM GEORGE SAMBWE
4.
Nsimbo
CDM GERALD KITABU
5.
Kavuu
CDM LAURENT SENGA
KIGOMA
1.
Buyungu
NCCR MATHUSELA A MAWAZO
2.
Mhambwe
NCCR FELIX F MKOSAMALI
3.
Kasulu Mjini NCCR GIDEON B BONIPHACE
4.
Kasulu Vijijini NCCR AGRIPINA Z
BUYOGERA
5.
Kigoma Kaskazini CDM DR. YARED
FUBUSA
6.
Kigoma Kusini NCCR DAVID Z KAFULILA
7.
Kigoma Mjini
CDM DANIEL LUMENYELA
8.
Manyovu
NCCR MUHANDISI MWOMELA
RUVUMA
1.
Tunduru Kaskazini CUF MANJORO D
KAMBILI
2.
Peramiho
CDM ELASMO MWINGIRA
3.
Mbinga Magharibi CDM CUTHBERT S.
NGWATA
4.
Mbinga Mashariki CDM EDWIN B.
AKITANDA
5.
Namtumbo
CUF BONIFASIA A MAPUNDA
6.
Songea Mjini CDM JOSEPH FUIME
7.
Tunduru Kusini CUF SADICK B SONGONI
8.
Madaba
CDM EDSON MBOGORO
9.
Mbinga Mjini NCCR MARIO MILLINGA
MTWARA
1.
Newala Mjini CUF JUMA S MANGUYA
2.
Newala Vijijini CUF JAFAR S MNEKE
3.
Tandahimba CUF KATANI A
KATANI
4.
Mtwara Vijijini CUF RASHID NANDONDE
5.
Nanyamba
CUF HAKUNA MGOMBEA
6.
Mtwara Mjini CUF/NCCR MAFTAHA
NACHUMA/HASSANI A ULEDI
7.
Nanyumbu CUF
MAJARIBU H LUPETO
8.
Lulindi
NLD MODESTA PONELA
9.
Masasi
NLD EMMANUEL MAKAIDI
10.
Ndanda
NLD ANGELOUS THOMAS
LINDI
1.
Mtama
CUF ISIHAKA R MCHINJITA
2.
Kilwa Kaskazini CUF VEDASTO E
NGOMBALE
3.
Kilwa Kusini CUF
SELEMANI S BUNGALA
4.
Lindi Mjini
CUF SALUM BARWANY
5.
Ruangwa
CUF OMARY I MAKOTA
6.
Nachingwea CUF JORDAI
MEMBE
7.
Liwale
CUF ZUBERI M KUCHAUKA
8.
Mchinga
CUF HAMIDU H BOBALI
PAPO KWA PAPO Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo
na Nyingine kwa kujiunga na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia
tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
No comments:
Post a Comment