UHALIFU / PICHA:-Polisi waua Majambazi wanne Mbeya. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, August 03, 2015

UHALIFU / PICHA:-Polisi waua Majambazi wanne Mbeya.

"Leo hii Agosti 03,2015, majira ya saa 11:30hrs majambazi 4 wote raia wa Zambia, wakiwa na silaha SMG na STERLING GUN walivamia mfanyabiashara mmoja dukani kwake Tunduma Wilaya ya Momba ambako nilikuwa nikifanya mkutano na mara tulipokea simu toka kwa waendesha bodaboda wakiripoti tukio hilo na bila kichelewa tuliwahi kwenda kupambana na majambazi hao (Live) na mapambano hayo yalidumu kwa zaidi masaa mawili na mwisho wa mapambano Polisi tuliibuka washindi baada kwa kushirikiana na wananchi na bundiki zao mbaroni. 

 Kweli Polisi Jamii inasaidia ikieleweka vizuri." Anaripoti Askari mmoja..Picha kwa hisani ya .RSA


Pata Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori inayonifikia wakati  wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad