Mh. Edward
Lowassa akisalimiana na Bi. Kulwa Juma ambaye ni mfanyabiashara ndogo ndogo ya
kuuza Mihogo ya Kukaanga katika Kituo cha Mabasi cha Gongo la Mboto mwisho,
Jijini Dar es salaam leo August 24, 2015, wakati alipofanya ziara ya kushtukiza
eneo hilo ili kujionea hali halishi ya biashara ndogo ndogo.
|
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
Mh. Edward Lowassa akimsikiliza Bi. Kulwa Juma ambaye ni mfanyabiashara ndogo
ndogo ya kuuza Mihogo ya Kukaanga katika Kituo cha Mabasi cha Gongo la Mboto mwisho,
Jijini Dar es salaam leo August 24, 2015.
|
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
Mh. Edward Lowassa akizungumza na vijana wanaoendesha Bodaboda waliokuwepo
kando ya Kituo cha Mabasi cha Gongo la Mboto mwisho, Jijini Dar es salaam leo.
Kulia ni Mgombea Mweza wake, Dkt. Juma Haji Duni.
|
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
Mh. Edward Lowassa akiwa katikati ya umati wa watu wakati alipotembelea eneo la
Gongo la Mboto mwisho, Jijini Dar es salaam leo August 24, 2015.
|
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
Mh. Edward Lowassa akizungumza na baadhi ya wanafunzi waliokuwa kituoni hapo
kusubiria usafiri.
|
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
Mh. Edward Lowassa akiwa ndani ya Daladala alilopanda kutokea Gongo la Mboto
Mwisho mpaka Pugu Kajiungeni jijini Dar es salaam,mapema leo August 24, 2015 asubuhi.
|
Mh. Lowassa
akishuka kwenye daladala.
|
Wakazi wa
mji wa Mbagala wakiushangilia msafara wa Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA
kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa pamoja
na Mgombea Mweza wake, Dkt. Juma Haji Duni wakati walipotembelea Kituo cha
Mabasi cha Mbagala Rangi tatu jijini Dar es salaam, wakati walipotembelea kituo
hicho leo August 24, 2015.
|
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
Mh. Edward Lowassa akizungumza na Vijana wanaojihusisha na shughuli mbali mbali
katika stendi kuu ya Mabasi yaendayo mikoa ya Lindi na Mtwara, ilipo Mbagala
jijini Dar.
|
Mgombea
Mwenza wa Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Dkt. Juma Haji Duni akiwasalimia wakazi wa Mbagala.
|
No comments:
Post a Comment