TASWIRA PICHA :-Man United imekubali kubadili jezi kwa kiasi hiki cha Pesa. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, August 01, 2015

TASWIRA PICHA :-Man United imekubali kubadili jezi kwa kiasi hiki cha Pesa.

Baada ya miaka 13 ya matumizi ya jezi za Nike kwa klabu ya Manchester United sasa imeamua kuzindua jezi mpya zitakazotumika katika msimu wa 2015/2016. Man United watatumia jezi zitakazokuwa zinatengenezwa na kampuni ya vifaa vya michezo ya ADIDAS kutoka Ujerumani.

Man United wamesaini mkataba  wa miaka 10 na kampuni ya vifaa vya michezo ya ADIDAS, mkataba wenye thamani ya pound milioni 750 na sasa wataanza kutumia jezi za kampuni hiyo.

CHANZO CHA STORY HII>>>MILLARDAYO.COM





Pata Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori inayonifikia wakati  wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad