FUNGUA LIGI KUU 2015/2016:-PSG vs Olympique Lyonnais kwenye Super Cup 2015 ilikuwa hivi. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, August 02, 2015

FUNGUA LIGI KUU 2015/2016:-PSG vs Olympique Lyonnais kwenye Super Cup 2015 ilikuwa hivi.

Trophee-des-Champions-620x350-English

Wiki moja kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu mbalimbali barani Ulaya kila Nchi huwa na utaratibu wa kucheza mchezo wa Hisani, Ufaransa na Ujerumani huwa wanaita Super Cup lakini kwa Uingereza wanaita Community Shield ambapo hukutanisha bingwa wa Ligi Kuu na bingwa wa Kombe la FA.
hqdefault

Ufaransa August 1 umepigwa mchezo wa Fainali ya Super Cup kati ya klabu ya Paris Saint Germain (PSG) dhidi ya klabu ya Olympique Lyonnais, mchezo uliopigwa katika dimba la Stade Saputo na klabu ya PSG kuibuka mabingwa wa kombe  hilo baada ya kuifunga Olympique goli 2-0 Serge Aurier dakika ya 11 akipachika goli la kwanza huku goli la pili likiwekwa wavuni na Edson Cavani dakika ya 17.

Hapa chini Nimekusogezea pichaz zote kwa hisani ya Millardayo.com


482677124
482677122
482677118
482677086
482677088
482677100
482677104
482677116
482677084
482677080
482677054
482677026
Pata Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori inayonifikia wakati  wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad