BUNDESLIGA 2015/2016:-Matokeo ya Fainali ya Super Cup yapo hapa Bayern vs Wolfsburg JANA aGOSTI 01,2015. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, August 02, 2015

BUNDESLIGA 2015/2016:-Matokeo ya Fainali ya Super Cup yapo hapa Bayern vs Wolfsburg JANA aGOSTI 01,2015.

maxresdefault
Kuelekea kuanza kwa Ligi Kuu Ujerumani Bundesliga August 01,2015 imepigwa mechi ya Fainali ya Super Cup, mchezo huo ulizikutanisha timu za FC Bayern Munchen dhidi ya klabu ya Wolfsburg katika uwanja wa Volkswagen Arena.

Generated by  IJG JPEG Library
Mchezo umemalizika kwa Wolfsburg kuibuka washindi baada ya dakika 90 za mchezo kumalizika kwa sare ya goli 1-1, hadi dakika ya 88 FC Bayern Munchen walikuwa wanaongoza kwa goli 1-0 goli lililofungwa na Arjen Robben dakika ya 47 ya mchezo kabla ya Nicklas Bendtner kufunga goli la kusawazisha dakika 89 kwa upande wa Wolfsburg.
482661198

Kevin De Bruyne akiwa na tuzo ya mchezaji bora wa mwaka

Hivyo ikalazimika kupigwa mikwaju ya penati ambapo Wolfsburg wakaibuka na ushindi kwa jumla ya penati 5-4 kwa upande wa FC Bayern Munchen kiungo wa Kihispania Xabi Alonso alikosa penati. Sambamba na hayo kiungo wa kimataifa wa Ubeligiji Kevin De Bruyne alipata tuzo ya mchezaji bora wa mwaka inayotolewa na waandishi wa habari za michezo Ujerumani...Habari kwa Hisani ya MILLARDAYO.COM
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
482661516
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
482661040
Generated by  IJG JPEG Library
Pata Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori inayonifikia wakati  wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad