Waandishi wa
habari wakifatilia wa taarifa ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Jaji
Mstaafu Damian Lubuva leo July 31, 2015 Makao Makuu ya NEC jijini Dar es
Salaam. (Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii)
Kamanda wa
Polis wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam,Kamishina Suleiman Kova amesema kuwa
uchaguzi unaendana na usalama hivyo
jeshi limejipanga katika ulinzi katika kipindi hiki.
Kova amesema
kuwa Jeshi litaendelea kushirikiana na viongozi wa siasa katika kuleta amani
katika kipindi cha uchaguzi.
Pata
Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori
inayonifikia wakati wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Friday, July 31, 2015
Home
SIASA
UCHAGUZI MKUU TANZANIA 2015:-NEC yaanza kutoa fomu ya Urais ,Ubunge pamoja na Udiwani kesho na kumalizika kwa zoezi la utoaji fomu hizo ni Agosti,21 , 2015.
UCHAGUZI MKUU TANZANIA 2015:-NEC yaanza kutoa fomu ya Urais ,Ubunge pamoja na Udiwani kesho na kumalizika kwa zoezi la utoaji fomu hizo ni Agosti,21 , 2015.
Tags
# SIASA
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
SIASA
Labels:
SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment