![]() |
|
>>>’Nilikipenda lakini nimelazimika kuchukua uamuzi huu, najua
nawakera wengi lakini nawaomba waangalie hali ambayo Viongozi wa CCM Wilaya ya
Kahama wamesababisha niamue uamuzi huu mgumu‘>>>
>>>
‘Kuanzia leo Julai 21,2015 najiunga na CHADEMA… Namshukuru Rais
Kikwete, nafikiri atakuwa mtu wa kwanza kuamini haya ninayosema, mwaka 2010
mizengwe iliyofanyika lengo lake ilikuwa kukata jina langu, kila mtu anafahamu
Rais mwenyewe aliwahi kuniambia lakini Rais Kikwete ndiye aliyerudisha jina
langu… Ninaahidi nitaendelea kufanya kazi nae mahali popote, na MUNGU naomba
anisaidie niweze kuvuka salama katika haya‘>>>> James
Lembeli......IKO HAPA SAUTI YAKE PIA,UKIBOFYA HAPA KISHA PLAY KUMSIKILIZA.
Pata
Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori
inayonifikia wakati wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Tuesday, July 21, 2015
Home
SIASA
UCHAGUZI MKUU TANZANIA 2015:-Maneno ya Mbunge James Lembeli alivyotangaza kuhama CCM kwenda CHADEMA leo July 21 2015.
UCHAGUZI MKUU TANZANIA 2015:-Maneno ya Mbunge James Lembeli alivyotangaza kuhama CCM kwenda CHADEMA leo July 21 2015.
Tags
# SIASA
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
SIASA
Labels:
SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.








No comments:
Post a Comment