MATOKEO YA KURA YA MAONI NA RATIBA 2015:-Ni Nafasi ya Ubunge ya CHADEMA Jimbo la Ngara haya Hapa. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, July 23, 2015

MATOKEO YA KURA YA MAONI NA RATIBA 2015:-Ni Nafasi ya Ubunge ya CHADEMA Jimbo la Ngara haya Hapa.

Mkutano wa kura za maoni CHADEMA nafasi ya Ubunge umefanyika hii leo July 23, 2015 katika Mjini wa Rulenge ambapo Wapiga kura walikuwa ni -256  , kura zilizoharibika ni  1 .


Watia Nia CHADEMA Ubunge Jimbo la Ngara.

Dr.Pitter Bujari kura  230 .

Bw.Lingston Kasomwa kura 19 .

Na. Bw.David Kibenza kura  6.

BOFYA HAPA KUPATA RATIBA YA KURA YA MAONI, MAJIMBO YA KANDA ZOTE-CHADEMA.

 
Aidha Jina la mshindi Dr.Bujari litapelekwa Kamati tendaji ya CHADEMA ya wilaya na kasha Baraza kuu la Taifa kupitishwa kasha kutangazwa rasmi kupitia Chama hicho ili kuwania Ubunge wa Jimbo la Ngara  kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu .

Pata Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori inayonifikia wakati  wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad