FUNUNU NA TETESI:-Picha ya Diamond na Zari… watu kuhisi kwamba wawili hao wamefunga ndoa?? - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, April 06, 2015

FUNUNU NA TETESI:-Picha ya Diamond na Zari… watu kuhisi kwamba wawili hao wamefunga ndoa??

Mtangazaji Adam Mchomvu alikuwa akiendesha show ya XXL leo APRIL 6,2015 kwenye U Heard yake akasema inahusu picha aliyopost msanii Diamond Platnumz kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na mpenzi wake Zari wakiwa wamevaa nguo nyeupe na kuandika “Wakati Mwingine Usiri Unabaraka zaidi…. Alhamdulillah”@diamondplatnumz


Post hiyo ilizua story nyingi ikiwemo watu kuhisi kwamba wawili hao wamefunga ndoa.

Studio alikuwepo mwanasheria ambae amesema ndoa ni maridhiano kati ya watu wawili na watu wanapoishi pamoja zaidi ya miezi mitatu ni wanandoa halali.

 Ili kusikiliza story yote bonyeza play hapa chini…BONYEZA LINK HII KUSIKILIZA

Source:-Millardayo.

Pata Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila tukio/stori inayonifikia wakati  wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad