Rais Jose Eduardo
Dos Santos.
Kuna tafiti
mbalimbali zilizowahi kufanywa, lakini leo nimekuja na hii list ya Marais nane
wanaoongoza kwa kuwa na utajiri mkubwa zaidi ya wenzao Afrika.
Ukiachilia
mbali Marais wengi wa Afrika kupenda kukaa kwa muda mrefu madarakani lakini
kuna hili la kujilimbikizia mali, wengine huzipata kabla ya kuwa marais lakini
wengi wao huzipata wakati wanashikilia madaraka kwa kipindi chote wanapotawala
nchi husika.
Bw.Jose Eduardo
Dos Santos.
Ndiye Rais
anayeongoza kwa utajiri Afrika kutoka Angola, aliingia madarakani mwaka 1979,
ana utajiri wa dola bilioni 20. |
No comments:
Post a Comment