![]() |
|
Mpinzani wa
Yanga SC ya Tanzania kwenye Mashindano ya CAF Kombe la Shirikisho Raundi ya
Mtoano ya Timu 16 bora amepatikana Jana April
05,2015 baada ya Mechi ya Marudiano.
Yanga SC
sasa wataivaa Etoile du Sahel ya Tunisia ambayo imeitupa nje Benfica de Luanda
kwa jumla ya Mabao 2-1 baada ya kuifunga Mechi ya kwanza 1-0 huko Tunisia na
Jana kutoka Sare 1-1 huko Angola.
Yanga SC wamefika
Raundi hii kwa kuibwaga FC Platinum ya Zimbabwe Jumla ya Mabao 5-2 baada ya
kushinda 5-1 Mechi ya kwanza na kufungwa 1-0 huko Zimbabwe hapo Juzi.
CAF KOMBE LA SHIRIKISHO.
Raundi ya
Mtoano Timu 16 Bora.
Mechi
kuchezwa Wikiendi ya Aprili 16,2015.
Al Zamalek v/s
Fath Union Sport de Rabat
Power
Dynamos v/s Orlando Pirates
Association
Sportive Olympique de Chlef v/s Club Africain
Djoliba AC v/s
Hearts of Oak
Young
Africans v/s E.S. Sahel
Royal Leopards
v/s AS Vita Club
Onze
Createurs v/s ASEC Mimosas Abidjan
Warri Wolves
v/s Etanchéité
|
Monday, April 06, 2015
CAF KOMBE LA SHIRIKISHO:-Yanga SC rasmi kuvaana na Etoile du Sahel ya Tunisia.!
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.






No comments:
Post a Comment