Katibu Mkuu
wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wakati akiingia kwenye
uwanja wa Maji Maji mjini Songea kwenye sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya
kuzaliwa kwa CCM.
|
Vijana
wakiangalia picha ya Hayati Abeid Aman Karume ,Rais wa Kwanza wa Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar.
|
Katibu wa
NEC Itikadi na Uenezi akiongoza shughuli wakati wa maadhimisho ya miaka 38 ya
kuzaliwa kwa CCM ambayo kitaifa yamefanyika Songea mkoani Ruvuma.
|
Msanii
Diamond akiwaburudisha maelfu ya watu waliofurika kwenye uwanja wa Maji Maji
mjini Songea kwenye sherehe za kutimiza miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM ambazo kitaifa
zimeadhimishwa mkoani Ruvuma.
|
Msanii
Diamond akipongezwa na chipukizi wa UVCCM baada ya kutumbuiza katika uwanja wa
MajiMaji mjini Songea leo katika kilele cha sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya
kuzaliwa kwa CCM.
|
No comments:
Post a Comment