Huko uwanja
wa Etihad, Mabingwa watetezi wa Ligi kuu Uingereza, Manchester City, walipigwa
Bao 2-0 na Middlesbrough inayocheza pia Daraja la chini Championship kwa Bao za
Kipindi cha Pili za Bamford na Garcia Martinez.
Nao
Tottenham, wakicheza kwao White Hart Lane, walipigwa Bao 2-1 na Leicester City
ambao walitoka nyuma kwa Penati ya Andros Townsend ya Dakika ya 19 na wao
kupiga Bao mbili katika Dakika ya 83, Mfungaji akiwa Ulloa, na Dakika ya 90 kwa
Bao la Schlupp.
Southampton,
Timu ambayo iko Nafasi ya 3 kwenye Ligi Kuu , ilichapwa Bao 3-2 na Crystal
Palace ambayo iko Nafasi ya 13 kwenye Ligi hiyo.
Bao za Mechi
hiyo zilifungwa zote Kipindi cha Kwanza na kwa Southampton kuitia Pelle, Dakika
ya 9, na Dann, aliejifunga mwenyewe Dakika ya 16 huku Palace wakifunga kupitia
Chamakh, Dakika ya 11 na 39, na Yaya Sanogo, Dakika ya 21.
Katika Mechi
ya kwanza kabisa , iliyochezwa Ewood Park, Wenyeji Blackburn Rovers, wanaocheza
Daraja la chini la Championship, walitoka nyuma kwa Bao 1-0 na kuibwaga Swansea
City inayocheza Ligi Kuu Bao 3-1.
FA CUP RAUNDI YA
4.
Ratiba/Matokeo-Ijumaa
Januari 23,2015.
Cambridge
United 0 – 0 Manchester United
Jumamosi
Januari 24,2015.
Derby 2 – 0 Chesterfield
Preston
North End 1 - 1 Sheffield United
Birmingham
City 1 – 2 West Bromwich Albion
Cardiff City
1 – 2 Reading
Sunderland 0
– 0 Fulham
Manchester
City 0 – 2 Middlesbrough
2030
Liverpool 0 – 0 Bolton Wanderers
Jumapili
Januari 25,2015.
1700 Bristol
City v West Ham
Jumatatu
Januari 26,2015.
2300
Rochdale v Stoke City
1800 Aston
Villa v Bournemouth
1900
Brighton & Hove Albion v Arsenal
TAREHE ZA
RAUNDI.
-Raundi
ya 4: 24 Januari
2015
-Raundi
ya 5: 14 Februari
2015
-Raundi
ya 6: 7 Machi 2015
-Nusu
Fainali: 18 & 19
Aprili 2015
-Fainali:
30 Mei 2015
|
No comments:
Post a Comment