Kunguru huyo
alikutwa na camera yetu leo Desemba 22,2014 majira ya asubuhi katika eneo la
stand mjini Ngara ambapo alionekana hana
wasi wasi na mmiliki wake wakiwa kazini.
|
Pichani juu na chini ni Kunguru hapa akipozi bila woga huku
akishuhudia mmilikiwake akiwajibika kibaruani.
|
UNGANANASI
KATIKA FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
No comments:
Post a Comment