Mtoa mada katika mdahalo wa kujadili Katiba inayopendekezwa, Jaji Joseph
Warioba akitoa mada kabla ya mkutano huo kuvunjika katika ukumbi wa Ubungo
Plaza jijini Dar es Saam Jana November 02,2014.
|
Baadhi ya vijana walioingia na mabango ndani ya ukumbi wa mkutano wakiwa
na mabango yaliyokuwa yakisomeka ‘Katiba inayopendekezwa tumeipokea tunaiunga
mkono’.
|
Mlinzi wa Jaji Joseph Warioba (kushoto) akimkinga kwa mikono ili asipate
madhara baada ya mdahalo wa kujadili Katiba inayopendekezwa kuvamiwa na kundi
la vijana na kusababisha uvunjifu wa amani.
|
Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Humphrey Polepole
akimzuia mmoja wa vijana aliyekuwa na jazba mara baada ya kutokea kwa vurugu
katika mdahalo wa kujadili Katiba inayopendekeza.
|
....Mabango yakiwa juu…
|
Mabango yakiwa juu…
na mojawapo lilisomeka “TUMEIPOKEA,
TUNAIKUBALI NA TUNAIUNGA MKONO KATIBA PENDEKEZWA”
|
......Fujo zikaanzaa........... |
![]() |
Pichani juu na chini ni Baadhi ya viti vilivyovujwa.
|
Mmoja wa vijana waliokuwa wakitoa maneno ya kashfa kwa Jaji Warioba
akiwanyooshea vidole viongozi wa meza Kuu.
|
Jaji Warioba akitoka katika ukumbi huku akisindikizwa na askari kanzu.
|
Jaji Warioba akiwapungia mkono wananchi waliokuwa wamefurika nje ya jengo
la Ubungo Plaza ambako mdahalo wa kujadili Katiba inayopendekezwa ulikuwa
ukifanyika.
|
Wananchi walikuwa nje ya jengo la Ubungo Plaza wakimshangilia Jaji
Warioba wakati akitoka katika ukumbi wa mdahalo huku wakimuita 'Rais
Rais'.(SOMA ZAIDI KWA KUBOFYA HAPA).
|
Karibu
kwenye familia ya Makonda Blog na uzipokee Picha/Habari zote kwa kutumiwa Mchana
/Usiku baada tu ya kujiunga kwa kubonyeza hapa mtu wangu >>>BONYEZA HAPA.>>>Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
No comments:
Post a Comment