![]() |
Wakicheza
Uwanjani kwao Saint James Park, Nao Newcastle wameifunga Liverpool Bao 1-0
katika Mechi ya Ligi Kuu.
Huu sasa ni
ushindi wa 4 mfululizo kwa Meneja wa Newcastle Alan Pardew na kukata ngebe za
wale Mashabiki waliotaka atimuliwa kwa kuanza Msimu vibaya.
Bao la
ushindi la Newcastle lilifungwa Dakika ya 73 na Ayoze Pérez Gutiérrez kutokana
na Krosi ya Paul Dummett ambayo Liverpool walishindwa kuiokoa.
Hii ni Mechi
ya 8 kwa Straika wa Liverpool Mario Balotelli kucheza na kutofunga Bao kwenye
Mechi ya Ligi Kuu Uingereza.
|
![]() |
Karibu kwenye familia ya Makonda Blog na uzipokee Picha/Habari zote kwa kutumiwa Mchana /Usiku baada tu ya kujiunga kwa kubonyeza hapa mtu wangu >>>BONYEZA HAPA.>>>Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630. |
No comments:
Post a Comment