Pamoja na
zawadi nyingine, Menejiment ya Diamond ilimpa zawadi ya gari jipya aina ya BMW
X6.
Zawadi kubwa
aliyopata Diamond kwenye birthday yake ni gari aina ya BMW X6, ambayo alipewa
na uongozi wake unaoundwa na Babu Tale, Said Fela na Salam. Tale ameelezea
jinsi walivyoweza kupata pesa za kununua gari hiyo.
“Sasa hivi Diamond anafanya vizuri na tulikuwa tunamwambia Diamond kwamba
kuna contract tukisaini tutakupa zawadi, as in kwamba management haitachukua
percent ya hiyo contract hiyo pesa itaenda kwenye kukuchukulia wewe zawadi,
akasema nyie bana mlivyokuwa watata sijui kama mtakubali.”
Aliendelea,
“Tulivyotoka South Africa tukawa kuna contract tume confirm kusaini,
tulivyosaini ile contract ile pesa ambayo ilitakiwa pasenti yote ije kwetu sisi
mimi, Fela na Salam yote tukasema tumchukulie zawadi….ni shilingi ya kitanzania
milioni 90”.
-bongo5
|
No comments:
Post a Comment