AJALI:-Tazama Picha Lori lililoshehena Mbolea likipata ajali Mlima Msebeyi wilayani Uvinza mkoani Kigoma. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, October 04, 2014

AJALI:-Tazama Picha Lori lililoshehena Mbolea likipata ajali Mlima Msebeyi wilayani Uvinza mkoani Kigoma.


Ajali hii ambayo imetokea katika Mlima Msebeyi wilayani Uvinza mkoani Kigoma,imelihusisha Lori lililokuwa limebeba shehena ya mbolea ambayo baada ya kupata ajali ilimwagika na Dereva amenusurika kufa.Picha Na:- Prosper Laurent Kwigize-Kigoma.

Karibu kwenye familia ya Makonda Blog na uzipokee Picha/Habari zote kwa kutumiwa Mchana /Usiku baada tu ya kujiunga kwa kubonyeza hapa mtu wangu >>>BONYEZA HAPA.>>>Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad