BINAFSI NTAKUKUMBUKA DAIMA NA MOLA AKUPUMZISHE SALAMA MZEE WETU:-Mtangazaji Ben Kiko. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Friday, October 31, 2014

BINAFSI NTAKUKUMBUKA DAIMA NA MOLA AKUPUMZISHE SALAMA MZEE WETU:-Mtangazaji Ben Kiko.

Ben Kiko enzi za uhai wake.

 ALIYEKUWA mtangazaji maarufu wa Radio Tanzania, Ben Kiko, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Oktoba 31, 2014 akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa akitibiwa.

Kiko amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya figo kwa muda mrefu.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN.

Karibu kwenye familia ya Makonda Blog na uzipokee Picha/Habari zote kwa kutumiwa Mchana /Usiku baada tu ya kujiunga kwa kubonyeza hapa mtu wangu >>>BONYEZA HAPA.>>>Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad