Kampuni ya
Magari ya FORD ni miongoni mwa makampuni maarufu ya magari duniani lakini hapa
'designing' iliwashinda! Hilo ni FORD EDSEL liliundwa miaka 50
iliyopita.
|
Orodha bado
ni ndefu; Pichani ni CHEVROLET CORVAIR ambalo likisahaulika 'haki
haijatendeka!
|
Black
Falcon,ambalo limeundwa na Kampuni ya DARTZ Motorz Company,ya Uchina.
|
Gari hilo
Black Falcon kama linavyoonekana kwa ndani; Limetengenezwa kama sehemu ya
maadhimisho ya siku ya NYOKA inayosherehekewa nchini China.
|
Sehemu ya
Tangazo la Gari hilo linalotarajiwa kuanza kuuzwa katika soko la magari la
Mashariki ya Kati na Arabuni mapema mwaka huu.
|
Maelezo ya
hili yamejitoshelezakatika picha AMC PACER ambalo liliundwa mwaka 1975.Ni baya
lakini limeelezwa kuwa miongoni mwa magari yenye spidi kubwa enzi hizo.
|
Picha juu ni Gari aina ya TOYOTA
BB miongoni mwa magari yanayotajwa kuwa mabaya zaidi duniani.
|
Miongoni mwa
mengine pia limo Aston Martin Lagonda hilo hapo juu.
|
Like ukurasa wetu wa facebook ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA
No comments:
Post a Comment