Mwanachama wa zamani wa
Chadema, Bi.Batuli Abdallah akijieleza
mbele ya wanahabari (hawako pichani)leo Septemba 30,2014.
|
Yassin Bahama aliyekuwa
mwanachama wa zamani wa Chadema akizungumza.
|
Mohamed Ngulangwa aliyekuwa
mwanachama wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM ) akivaa fulana ya chama hicho.
|
Mwenyekiti wa ACT,
Hamis Chambuso akiwa ameshika kadi za Chadema zilizorudishwa na
wanachama hao wapya.
|
Karibu
kwenye familia ya Makonda Blog na uzipokee Picha/Habari zote kwa kutumiwa Mchana
/Usiku baada tu ya kujiunga kwa kubonyeza hapa mtu wangu >>>BONYEZA HAPA.>>>Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
No comments:
Post a Comment