Like ukurasa wetu wa facebook ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA
Host Wa TMT 2014 Joti akimpongeza Baba wa
Mwanaafa Mwizago kwa Mwanae kuibuka Mshindi wa Fainali ya Tanzania Movie
Talents (TMT) na kuibuka na kitita cha Shilingi Milioni 50 za Kitanzania.
|
Mwanaafa Akiwa amembeba Mdogo wake mara baada
ya kutangazwa Mshindi wa Fainali ya Tanzania Movie Talents (TMT) 2014 na kuibuka
na kitita cha Shilingi milioni 50.
|
Majaji wa Tanzania Movie Talents (TMT) 2014.
|
Lulu akionyesha Bahasha iliyokuwa na JIna la
Mshindi wa Tanzania Movie Talents (TMT) ambae ni Mwanaafa Mwinzago na Kumfanya
kujishindia Shilingi Milioni 50 za Kitanzania.
|
Baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar waliojitokeza
kushuhudia fainali ya TMT ambayo ilikua ikirushwa live kupitia ITV.
|
Malaika Band wakitoa Burudani wakati wa
fainali ya TMT 2014 katika Ukumbi wa Mlimani City Usiku wa Kuamkia leo Agosti
31,2014.
|
Christian Bella Akitoa burudani kwa kuimba
wimbo wa Nani kama Mama ambao uliamsha Shamra Shamra katika Ukumbi wa Mlimani
City Usiku wa Kuamkia leo na Mwanaafa Mwinzago Kuibuka Mshindi.
|
Joti akitoa Suprize ya ukweli haswa katika
fainali ya Tanzania Movie Talents (TMT) katika ukumbi wa Mlimani City usiku wa
Kuamkia Leo Agosti 31,2014.
|
Wadau wa Kampuni ya Proin Promotions Limited
wakiwa katika Picha ya Pamoja mara baada ya MShindi wa Tanzania Movie Talents
(TMT) kupatikana na kila Mmoja kusherehekea Ushindi huo.
|
No comments:
Post a Comment