![]() |
|
Baada ya kufanyiwa Marekebisho,Vyoo hivyo Vya shule ya Msingi Ngeze
huonekana kwa taswira hii.
|
![]() |
|
.....Tazama Muonekano wa sakafu kwa baadhi ya Vyoo hivi......Sipati picha Mtoto akiteleza inakuwaje ....kama si Majanga ...??.
|
![]() |
|
Hiki inasemekana kinatumiwa na Walimu wao wa Shule ya Msingi Ngeze na kwa nyuma ni Vyoo vya Wanafunzi.
|
![]() |
|
Shule hii ya Msingi iliyobeba jina la aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Ngara,mkoani Kagera kimadarasa yanaonekana yako katika hali nzuri na inayo Madarasa 7.
|











No comments:
Post a Comment