![]() |
|
Kwa haraka
haraka unaweza sema imepaki…kumbe ni ajali ya Gari Namba T 500 CWC
iliyotokea Jana Julai 13,2014,Usiku was aa 8 katika Barabara ya kuelekea
Hospitali ya Murgwanza mjini Ngara.
|
![]() |
|
Katika ajali
hiyo haijajulikana ni watu wangapi walikuwemo ila hakuna mtu aliefariki ,zaidi ya
Kupatikana Majeruhi ambao walipelekwa Hospitali ya Murgwanza kwa Matibabu Zaidi.
|










No comments:
Post a Comment