![]() |
Timu ya
Kabanga FC ikiwa nyumbani kwenye uwanja wake,imekubali kuchapwa bao 3-1 na
wageni wao Timu ya Ilabilo kutoka mkoa wa Muyinga nchini Burundi katika mchezo
wa Kirafiki wa Kimataifa uliopigwa June 01,2014 mjini Kabanga,wilayani Ngara
mkoani Kagera…Picha Na:-
Soud Saidr-Kabanga.
Katika mchezo
huo ,Ilabilo walitangulia kuongoza kwa bao 1-0 hadi kipindi cha kwanza
kinamalizika na baadae kipindi cha pili kilipoanza Kabanga FC wakasawazisha bao
hilo lakini Kabanga FC walishindwa kuulinda ushindi wao wa bao 1-0 waliposafiri
kwenda kucheza nao kwao nchini Burundi, kwani walijikuta wakipwaya na kuruhusu kufungwa magoli 2 na kumaliza mchezo dakika 90,Ilabilo FC 3 na Kabanga
FC 1.
|
![]() |
........Kikosi cha timu
ya Kabanga Eleven Fighters/Kabanga FC…..
|
![]() |
.........Kikosi cha timu
ya Ilabilo FC toka Muinga nchini Burundi...
|
![]() |
Baadhi ya Mashabiki wa soka waliojitokeza kushuhudia mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa kwenye uwanja wa Kabanga June 01,2014...na Kabanga FC kufungwa bao 3-1 na Ilabilo FC .
|
No comments:
Post a Comment