Aron Ntagalo Meneja Mauzo wa Airtel wilaya ya Ngara nae alishiriki katika Bonanza
hilo la Mashabiki wa Arsenal June 01,2014 kwenye Viwanja vya Posta ya zamani Mjini Ngara.
|
Damian Godrid ambaye ni shabiki mkubwa na wakutupwa wa Arsenal akitafakari mchezo wa Mashabiki hao katika kuadhimisha Arsenal kubeba kombe la FA kwenye Viwanja vya Posta ya zamani Mjini Ngara. |
Hii ni timu
ya Giroud ikiongozwa na Seleman Ally aka Mzanzibar,Seif Upupu,Niyo,Baruan na wengineo
|
Kikosi cha timu ya Mertesacker ambacho kiliibuka wababe kwa kuwafunga wenzao bao 4-1 .
|
Utakumbuka kuwa
Baada ya kukaa Miaka 9 bila Kombe
lolote, baada kutwaa FA CUP Mwaka 2005, May 17,2014 katika Uwanjani Wembley,
Jijini London, Arsenal wakafanikiwa kubeba FA CUP walipotoka nyuma kwa Bao 2-0
ndani ya Dakika 8 za kwanza na kushinda 3-2 katika Dakika 120 za Gemu…kwa
magoli ya Santi Cazorla Dakika ya 17,Laurent Koscielny 71 na Aaron Ramsey 109.
No comments:
Post a Comment