Mashabiki wachache
kutoka Klabu pinzani za Manchester United,Manchester City,Liverpool na Chelsea nao walialikwa pia.
|
Kuoka kulia ni Mtangazaji Dotto J.Bahemu na Seif Omary Upupu kutoka kituo cha Radio cha Mjini Ngara -Radio Kwizera FM nao waliwakilisha hisia zao sambamba na Gilman Mtegoa katika sherehe hiyo .
|
Baadhi ya Mashabiki wa Klabu Kongwe ya Arsenal toka Ngara mjini wakifatilia kile kilichokuwa kinaendelea katika sherehe iliyofanyika June 01,2014 katika Ukumbi wa Murvyagira mjini Ngara. |
Aron Ntagalo akiilelezea hadhira Hisotia fupi ya Kombe la FA na kusema kuwa wanafurahi sana kwa klabu yao ya Arsenal kubeba kombe hilo la 11 kwa klabu yao na hivyo kuandika Historia. |
Mdau na Shabiki wa Chelsea Mtayoba akibadilishana mawazo na Focas wakati wa sherehe hiyo iliyofanyika June 01,2014 katika Ukumbi wa Murvyagira mjini Ngara. |
Seleman Ally aka Mzanzibar ,kocha wa Ngara Stars na Mashabiki wa Klabu Kongwe ya Arsenal takifurahia jambo wakati wa sherehe ya Mashabiki wa klabu hiyo kubeba kombe la FA. |
....Utawapenda tu kwa raha zao ....Mashabiki hao wa Arsenal wakafungua Shampen na kugonga Cheers kwa furahaa..... |
....Damiani Godrid na Cheers kwa furahaa..... |
Cheers ............. |
.......Furaha ilikuwa zaidi ya maeleza kwa Mashabiki hawa wa Arsenal..... |
Mwl.Adof Gisuka na Baba Lenon nao hawakukosa hasa wakifurahi na wimbo wa Arsenal ...we are Champion........ |
Mdau Elisante kushoto ,nae kama kawa alikuwa sehemu ya kufurahia klabu yao ya Arsenal kutwaa FA CUP 2013/2014. |
.....Nao walikuwepo.......kufurahi..... |
![]() |
....Mashabiki hao wa Klabu ya Arsenal na wageni waalikwa ambao ni Mashabiki wa Vilabu vya Chelsea,Man City,Man United na Liverpool wakielekea kupata Chakula.... |
No comments:
Post a Comment