Diamond Platnumz akihojiwa na Karrueche Tran
ambaye ni mpenzi wa Chris Brown kwenye Red Carpet ndani ya Ukumbi wa Nokia, Los
Angeles, California usiku wa June 29,2014.
|
Msanii Diamond Platnumz Jana June 29,2014, katika tuzo za Bet Nchini Marekani kuwa Tuzo zimefanyika na Tuzo aliyowania Diamond ya Best Africa Act imekwenda kwa msanii mwenzake Davido kutoka Nigeria.
Kwenye
instagram Ya Diamond Kuna Huu Ujumbe kuhusu Matokeo Hayo.
”
Tusipopenda kukubali Matokeo na Ushindi wa Wenzetu basi Daima Hatutaweza kuwa
Washindani….Muhimu ni kujua wapi tulipotoka na Wapi tulipo Leo… Katika Nchi
zaidi ya 20 zenye wasanii zaidi ya Million 40, kuchaguliwa Tanzania ni fursa,
Heshima na Hatua kubwa… Cha Muhimu ni kuitumia vyema Fursa Hii na Kuhakikisha
Mwakani tunapiga Hatua Zaidi!…. Asante sana kwa wote wanaozidi kuni support kwa
hali na Mali, Mapambano ndio kwaaaanza yanaanza sasa…..!!!!!! @wcb_wasafi For
Life Bab
Davido akiwa
na Pharell Williams kwenye tuzo hizo za BET 2014 usiku wa June 29,2014.
|
Diamond katika pozi na Nelly.
|
Nelly.
|
Adrienne Bailon
|
Amber Rose.
|
Angela Simmons.
|
Ashanti.
|
DJ Khalil.
|
Floyd Mayweather akiwa na mpenzi wake.
|
Charli Baltimore.
|
Donnivin Jordan.
|
Gabrielle Union.
|
John Legend.
|
Ne-Yo akipozi kwenye Red Carpet.
|
Paris Hilton.
|
Sage The Gemini.
|
Snootie Wild.
|
Stephen Bishop.
|
Tameka "Tiny" Harris.
|
Tatyana Ali.
|
T.I.
|
Tiwa Savage.
|
No comments:
Post a Comment