Mkuu wa Jeshi la Polisi wilayani Ngara ,Bw Abeli Mtagwa amesema kwa sasa msichana huyo
bado anahojiwa na polisi na kwamba anatarajiwa kufikishwa mahakamani kesho (June 03,2014)
baada ya upelelezi kukamilika ili ajibu tuhuma zinazomkabili.
Hata hivyo Bw Mtagwa
amekemea tabia ya watu kutaka kujiua kwa kisingio cha wivu wa Kimapenzi na
Ugumu wa Maisha na kwamba serikali itaendelea kuwachukulia hatua wote
watakaobainika kufanya hivyo.
Habari Na:-Radio Kwizera FM.
Habari Na:-Radio Kwizera FM.
No comments:
Post a Comment