MC Jimmy Kabwe akiwa kazini – Tuzo za Watu 2014...
Vipengele 11
(kumi na kimoja) vilikuwa vikishindaniwa. Mshindi katika kila kipengele
ameibuka na zawadi ya shilingi milioni moja pamoja na tuzo. Chini ya orodha ni picha
za tukio hilo.
ORODHA YA
WASHINDI WA TUZO HIZO.
1.
MTANGAZAJI WA REDIO ANAYEPENDWA
Millard Ayo – Clouds FM
2. KIPINDI
CHA REDIO KINACHOPENDWA
Amplifaya – Clouds FM
3.MTANGAZAJI
WA RUNINGA ANAYEPENDWA
Salim Kikeke – BBC Swahili
4. KIPINDI
CHA RUNINGA KINACHOPENDWA
Mkasi – EATV
5. MWANAMICHEZO
ANAYEPENDWA
Juma Kaseja – Yanga
6.
MUONGOZAJI WA VIDEO ZA MUZIKI ZINAZOPENDWA
Nisher
7. VIDEO YA
MUZIKI INAYOPENDWA YA MWANAMUZIKI WA KIUME
My Number One – Diamond
8. VIDEO YA
MUZIKI INAYOPENDWA YA MWANAMUZIKI WA KIKE
Yahaya – Lady Jaydee
09.
MUIGIZAJI WA KIUME KWENYE FILAMU ANAYEPENDWA
King Majuto
10.
MUIGIZAJI WA KIKE KWENYE FILAMU ANAYEPENDWA
Elizabeth ‘Lulu’ Michael
11. FILAMU
INAYOPENDWA
Ndoa Yangu
|
No comments:
Post a Comment