![]() |
|
Waombolezaji wakiwa Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro, kuaga mwili
wa mtoto Nasra Mvungi leo June 3, 2014.
|
![]() |
|
Jeneza lenye
mwili wa mtoto Nasra Rashid (4) likiwa katika uwanja wa Jamhuri mkoa wa
Morogoro kabla ya mazishi yake katika makaburi
ya Kola mkoani humo leo June 3, 2014.
|
![]() |
|
....Mwili
wa mtoto Nasra ukipelekwa makaburini Kuzikwa…
|
![]() |
|
Mfanyabiashara, Al Saed Omary aliyefanikisha kuleta mwili wa Marehemu
Nasra kutoka Dar es Salaam.
|
![]() |
|
......Waombolezaji wakiingia katika mabasi ya Abood, kwenda katika
maziko......
|
![]() |
|
Mazishi ya mtoto Nasra yamefanyika katika makaburi ya Kola mkoani Morogoro leo June
3, 2014.
|
![]() |
|
Mbunge Abdulaziz Abood akiweka udongo katika kaburi la marehemu Nasra na
kuahidi kumfanyia hitma baada ya siku 40 tangu kuzikwa kwake.
|
![]() |
|
Mfanyabiashara Al Saed Omar nae akiweka udongo katika kaburi la marehemu leo June 03,2014.
|
















No comments:
Post a Comment