![]() |
Bibi Olabisi Ibidun Cole akiangua kilio
mahakamani.
|
![]() |
Bibi wa Kinigeria, Olabisi Ibidun Cole akipelekwa mahakamani.... |
Bibi wa
Kinigeria, Olabisi Ibidun Cole (65), May 26, 2014, ameangua kilio katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar ers Salaam wakati akipelekwa
kizimbani kwa ajili ya kusomewa kesi yake ya kunaswa na madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 37.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar ers Salaam wakati akipelekwa
kizimbani kwa ajili ya kusomewa kesi yake ya kunaswa na madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 37.
Hakimu
aliyepelekewa kesi hiyo, Frank Mushi, aliiahirisha kesi hiyo mpaka leo (May
27,2014) ili bibi huyo ambaye hajui Kiswahili wala Kiingereza atafute
mkalimani.
Cole alisema
lugha anayoweza kuitumia kiufasaha ni Kiyoruba ambacho hutumiwa nchini Nigeria.
Katika hali iliyoonesha kukata tamaa, bibi huyo alianza kuangua kilio akiomba
Mungu amsaidie.
(PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL)
No comments:
Post a Comment