BIASHARA NGARA:-Tazama Mikungu ya ndizi kutoka kijiji cha Murukulazo Ikisafirishwa kwa Baiskeli kueleke Muyinga kutafuta Soko. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, May 21, 2014

BIASHARA NGARA:-Tazama Mikungu ya ndizi kutoka kijiji cha Murukulazo Ikisafirishwa kwa Baiskeli kueleke Muyinga kutafuta Soko.

Wajasiriamali wakisomba mikungu ya ndizi kutoka kijiji cha Mulukulazo wilayani Ngara mkoani Kagera kueleke Nzaza kata ya Kabanga kutafuta soko kwa wakazi na wajasirimali wa Muyinga Nchini Burundi.


Kwa Biashara ya Ndizi hivi sasa wilayani Ngara mkoani Kagera ,Mkungu mmoja umekuwa ukipatikana kati shilingi Elfu 5 hadi shilling Elfu 10.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad