Baadaye Madrid ilipoteza nafasi za kufunga kupitia Cristiano Ronaldo na
Angelo Di Maria huku Bayern wanaonolewa na Pep Guardiola ndiyo wakitawala mchezo kwa asilimia kubwa kwa kupiga pasi fupi
fupi.
|
Real Madrid sasa
itakuwa na kibarua kigumu wiki ijayo ,Jumanne ya April 29, 2014, katika mchezo
wa marudiano ikitakiwa kuulinda ushindi huo mwembamba mbele ya mabingwa hao
watetezi wa Ulaya.
Hapo jana(April 22,2014)- Chelsea ililazimishwa sare ya bila kufungana na Atletico Madrid katika Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye Uwanja wa Vicente Calderon.
Chelsea sasa
itahitaji ushindi mwembamba katika mchezo wa marudiano Uwanja wa Stamford
Bridge, London (Jumatano April 30,2014)dhidi ya Atletico Madrid.
No comments:
Post a Comment