SOKO:-Tazama Picha 17 za Soko la Kila Jumamosi la Kojifa-Mjini Ngara na bidhaa mbalimbali zinazopatikana. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, April 21, 2014

SOKO:-Tazama Picha 17 za Soko la Kila Jumamosi la Kojifa-Mjini Ngara na bidhaa mbalimbali zinazopatikana.


Soko la Kojifa ambalo huwa lipo kila Jumamosi llimekuwa msaada mkubwa sana kwa wakazimjini Ngara na maeneo ya Jirani kwa kuja kuuza au kununua bidhaa mbalimbali/mahitaji yao kwa gharama nafuu kabisa.



........Hapo ni muonekano wa kabeji zikiuzwa  Sokoni Kojifa ..............


Nyanya pia kwa wingi unazipata kwa gharama ya Kilo moja kuanzia 600 mpaka 1000/=

.....Wapenda juisi ya asili.....Nanasi pia kwa shilingi 500/= mpaka 1000/= pamoja na matunda Passion kwa fungu kuuzwa shilingi 500/=

...Hapo Karoti,Parachichi,Ndizi ..hata Matango kwa shilingi 500/= mpaka 1000/= Ni Soko la Kojifa ambalo huwa lipo kila Jumamosi .

.....mboga mboga pia za majani zipo.....Matembele,kisamvu,Spinachi....Msusa.......unazipata.

Hapa sasa kwa wale wa kukaya..Manumbhu(Viazi vitamu)...navyo bana vinapatikana kwa fungu moja 500/= mpaka 1000/=.

..Ulishawahi kunywa Juisi ya Miwa..??Haaaaa nayo ipo kwa bei yako tu ndani ya Soko la Kila Jumamosi la Kojifa-Mjini Ngara.


Picha juu ni upande wa wauzaji wa nguo za Mitumba...Picha chini ni  muonekano wa Soko la Kojifa ambalo hujaza wafanya biashara na wanunuzi kutoka maeneo ya jirani na ngara mjini.




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad