MIAKA 50 YA MUUNGANO:-Tazama Picha za Matukio wakati wa Sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar April 26, 2014,Uwanja wa Uhuru. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, April 26, 2014

MIAKA 50 YA MUUNGANO:-Tazama Picha za Matukio wakati wa Sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar April 26, 2014,Uwanja wa Uhuru.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis
Mwamunyange wakiingia uwanjani ku
hudhuria sherehe za miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliyo zaa Tanzania, aprili 26 mwaka 1964,zilizofanyika leo April 26, 2014,kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mkono wananchi waliohudhuria sherehe za miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliyo zaa Tanzania, aprili 26 mwaka 1964,zilizofanyika leo April 26, 2014,kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la Jeshi la wananchi kwenye sherehe za miaka 50 ya Muungano wa Tanzania.
 Kikosi cha Makomandoo kikipita kwa mwendo wa aina yake wakati wa sherehe za miaka 50 ya Muungano.
Sehemu ya wageni waalikwa waliohudhuria sherehe za miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliyo zaa Tanzania, aprili 26 mwaka 1964,zilizofanyika leo April 26, 2014,kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.
 Kikosi cha Makomandoo kikitoa salaam kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,Dr.Jakaya Kikwete katika sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya Muungano.
Makomandoo wakionyesha namna ya kupambana bila kutumia nyenzo hapa wakivunja matofali kwa kutumia kichwa na mikono.
 Baadhi ya silaha zakijeshi zikipitishwa mbele ya umati kuonyesha uwezo mkubwa wa jeshi letu.
Sehemu ya  Kikosi cha Wanamaji wakionesha zana zao za Kivita wakati wa sherehe za miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliyo zaa Tanzania, aprili 26 mwaka 1964,zilizofanyika leo April 26, 2014,kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.
Ndege za kivita zikilinda Ndege ya Rais katika maonyesho ya Ndege yaliofanyika kwenye Kilele cha  Maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano.
Askari wa kikosi cha Mwamvuli akishuka kutoka futi 4500 kwenye uwanja wa Uhuru kwenye kilele cha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliyo zaa Tanzania, aprili 26 mwaka 1964,zilizofanyika leo April 26, 2014,kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa mkono wa pongezi mmoja wa wanajeshi wa kikosi cha mwamvuli .
Maandamano ya Pikipiki yalikuwepo wakati wa kilele cha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliyo zaa Tanzania, aprili 26 mwaka 1964,zilizofanyika leo April 26, 2014,kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.
Matembezi maalum ya kusheherekea miaka 50 ya Muungano  wa Tanganyika na Zanzibar uliyo zaa Tanzania, aprili 26 mwaka 1964,zilizofanyika leo April 26, 2014,kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.
Njiwa wakirushwa juu kama ishara ya miaka 50 ya Muungano ambapo watu waliorusha njiwa hao nao wametimiza miaka 50 wakizaliwa April 26, 1964.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad