AJALI:-Basi la AM Coach lapata ajali Ipuli mjini Tabora na kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, April 30, 2014

AJALI:-Basi la AM Coach lapata ajali Ipuli mjini Tabora na kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja.

Muonekano wa Basi la AM Coach likiwa limepata ajali (April 29,2014) eneo la Ipuli Mnadani mjini Tabora na kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja,chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa dereva wa basi  hilo,abiria wengine wamenusurika isipokuwa wapo ambao wamepata mshtuko mkubwa.

Huu ndio uskani wa basi hilo ni mbovu kupindukia na si salama kwa kutumika kwenye magari ya usafirishaji wa binadamu.

Askari Polisi Kitengo cha usalama barabarani wakiuchukua mwili wa mtoto aliyegongwa na basi la kampuni ya A.M maeneo ya Ipuli Mnadani Tabora …Basi hilo  lilikuwa likitokea jijini Mwanza,katika ajali hiyo watu kadhaa wamejeruhiwa.

Umati mkubwa wa watu ambao ulifiika kushuhudia ajali hiyo… Chanzo Na:-Wazalendo25

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad