Kenya
itachuana dhidi ya Visiwa vya Comoro ,Tanzania itapambane na Zimbabwe, Uganda dhidi
ya Madagascar huku Rwanda ikivaana na Libya.
Burundi kwa
upande wake itachuana dhidi ya Botswana, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ikipambana
na Namibia.
Raundi ya
Kwanza
- Liberia v/s Lesotho
- Kenya v/s Comoros Islands
- Madagascar v/s Uganda
- Mauritania v/s Equatorial Guinea
- Namibia v/s Congo
- Libya v/s Rwanda
- Burundi v/s Botswana
- Central African Republic v/s Guinea Bissau
- Swaziland v/s Sierra Leone
- Gambia v/s Seychelles
- Sao Tome e Principe v/s Benin
- Malawi v/s Chad
- Tanzania v/s Zimbabwe
- Mozambique v/s South Sudan
Baada ya
kushiriki mkondo wa kwanza wa maondoano, mataifa hayo tena yatalazimika
kuchuana miongoni mwao ilikufuzu kwa awamu ya pili.
Mshindi wa
mkondo huo wa pili ndio watakaojumuishwa katika makundi saba yaliyotangazwa na
CAF.
Raundi ya
Pili.
Liberia au
Lesotho v/S Kenya au Comoros Islands
Madagascar au
Uganda v/s Mauritania au Equatorial Guinea
Namibia au
Congo v/s Libya au Rwanda
Burundi au Botswana v/s CAR
au Guinea Bissau
Swaziland au Sierra Leone v/s Gambia au Seychelles
Sao Tome e
Principe au Benin v/s Malawi au Chad
Tanzania au Zimbabwe v/s Msumbiji au Sudan kusini
Mechi za
raundi ya kwanza zitachezwa kati ya tarehe 6-18 Mei.
Mechi za
marudio zitasakatwa wikiendi ya tarehe 30-31 Mei hadi Juni Mosi .
Katika mechi
zitakazoibua hisia ni pamoja na Mabingwa watetezi Nigeria ambao wamepangwa kuvaana
na Afrika Kusini.
Mahasimu wa
jadi kaskazini mwa Afrika Tunisia na Misri watakwaruzana huku Ghana ikitoana
kijasho na Togo.
Aidha Ivory
Coast itafungua kampeini yake ya kufuzu kwa dimba hilo lenye hadhi barani dhidi
ya mahasimu wao wakuu Cameroon.
Droo ya Makundi.
Kundi A :
Nigeria,
Sudan,
South Africa
{Namibia vs Congo Brazzaville/Libya vs Rwanda}
Kundi B :
Mali,
Ethiopia,
Algeria
{ Sao Tome e Principe vs Benin/Malawi vs Chad}
Kundi C:
Burkina
Faso,
Gabon,
Angola
{ Liberia vs Lesotho/Kenya vs Comoros Islands}
Kundi D:
Ivory Coast,
Democratic Republic
of Congo,
Cameroon
{ Swaziland vs Sierra Leone/Gambia vs. Seychelles}
Kundi E:
Ghana,
Guinea,
Togo
{Madagascar vs Uganda/Mauritania vs Equatorial Guinea}
Group F:
Zambia,
Niger,
Cape Verde
Islands
{ Tanzania vs Zimbabwe/Mozambique vs South Sudan}
Kundi G:
Tunisia,
Senegal,
Egypt
{ Burundi vs Botswana/ Central African Republic vs Guinea Bissau}
Mechi za
makundi zitaandaliwa kati ya tarehe 5-6 Septemba na tarehe 10 Septemba.
Mkondo wa
pili utaandaliwa kati ya tarehe 14-15 November na 19 November.
Washindi
wawili katika kila kundi watajiunga na wenyeji Morocco mwakani kwenye kipute
cha kuwania taji la taifa bingwa barani Afrika 2015.






No comments:
Post a Comment