Timu nyingine
pekee ya England iliyobaki katika michuano hiyo, Chelsea watakuwa Ugenin
kucheza na Paris Saint-Germain.
Barcelona
wataanza kwao Nou Camp kwa kucheza na wenzao wa Spain Atletico Madrid.
Real Madrid
wataanza Nyumbani Santiago Bernabeu kwa kucheza na Klabu ya Germany Borussia
Dortmund.
Mechi za kwanza zitachezwa Aprili 1 na 2,2014, wakati marudiano itakuwa
Aprili 8 na 9,2014.
-DROO YA NUSU FAINALI: 11 Aprili,2014.
-Mechi kuchezwa 22 & 23 Aprili na Marudiano 29 & 30 Aprili,2014.
-FAINALI: Estádio da Luz, Lisbon, Portugal 24 Mei 2014.
WASHINDI [Miaka ya karibu].
| MSIMU | MSHINDI | NCHI | MSHINDI WA PILI | NCHI | GOLI |
| 2012-13 | Bayern Munich | Germany | Borussia Dortmund | Germany | 2-1 |
| 2011-12 | Chelsea | England | Bayern Munich | Germany | 1-1 (Penati 4–3) |
| 2010-11 | Barcelona | Spain | Manchester United | England | 3-1 |
| 2009-10 | Internazionale | Italy | Bayern Munich | Germany | 2-0 |
| 2008-09 | Barcelona | Spain | Manchester United | England | 2-0 |
| 2007-08 | Man United | England | Chelsea | England | 1-1 (Penati 6–5) |
DROO YA
ROBO FAINALI.
Benfica v AZ
Alkmaar
Lyon v
Juventus
Basel v
Valencia
FC Porto v
Sevilla.
EUROPA
LIGI MATOKEO YA 16 BORA.
Alhamisi
Machi 20,2014.
[Kwenye
Mabano Jumla ya Mabao kwa Mechi zote mbili]
FC Anzhi –
Russia 0 AZ Alkmaar – Netherlands 0 [0-1]
ACF
Fiorentina – Italy 0 Juventus FC – Italy 1 [1-2]
Benfica –
Portugal 2 Tottenham Hotspur – England 2 [5-3]
FC Viktoria
Plzen - Czech Republic 2 Olympique Lyonnais – France 1 [3-5]
Valencia –
Spain 1 Ludogorets Razgrad – Bulgaria 0 [4-0]
SSC Napoli –
Italy 2 FC Porto –
Portugal 2 [2-3]
Real Betis –
Spain 0 Sevilla FC – Spain 2 [2-2, Sevilla wasonga Penati 4-3]
Red Bull
Salzburg - Austria 1 FC Basel 1893 – Switzerland 2 [1-2]
SAFARI YA
TURIN.
ROBO
FAINALI: Mechi Aprili 3 & 10,2014.
NUSU
FAINALI: Droo Aprili 11, Mechi Aprili 24 na Mei 1,2014.
FAINALI:
Jumatano Mei 14, 2014,Juventus Stadium, Turin, Italy







No comments:
Post a Comment