![]() |
|
Zaidi ya mashamba 100 ya migomba katika kijiji cha bulembo kata ya Ibuga
wilayani Muleba mkoani Kagera,yamehalibiwa na mvua iliyonyesha leo March 28,
2014,ikiambatana na upepo mkali.
|
![]() |
|
Ni nyumba
mojawapo iliyoezuka paa na baadhi ya kuta kudondoka.
|
![]() |
|
Moja ya nyumba zilizooezuka katika kijiji cha bulembo kata ya Ibuga
wilayani Muleba mkoani Kagera, leo March 28, 2014,kufuatia mvua iliyoambatana
na upepo mkali kunyesha.
|
Aidha kufuatia mvua hiyo ,Pia nyumba 15 zimeezuliwa na upepo katika
kisiwa cha Musira kilichoko Manispaa ya Bukoba.
Kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa kisiwa hicho Bw. CHALES POLEPOLE amesema kuwa pamoja na kuezuliwa kwa nyumba hizo pia
mtu mmoja amejeruhiwa vibaya baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba huku miti
na migomba ikiharibiwa vibaya kutokana na upepo huo.









No comments:
Post a Comment