Kwamba, Wazo la kuanzishwa kwa redio hii ilikuwa ni pamoja na kutaka kubadili maisha ya jamii katika nyanja mbalimbali hasa kujenga uelewa juu ya masuala ya msingi ya jamii kama vile jinsia, ulinzi wa mazingira, haki nyingine za kijamii na kiuchumi,tatizo la VVU / UKIMWI na kupunguza umaskini miongoni mwa mengine.
Hivi sasa uongozi wa KADETFU upo katika harakati za
ujenzi wa studio,minara na taratibu za mwisho mwisho kabla ya kuanza matangazo
rasmi.
Redio nyingine zinazorusha matangazo yake kutoka Mkoani
Kagera ni Redio Kwizera FM( wilayani Ngara),Redio Karagwe na Redio Fadeco (wilayani Karagwe) pamoja
na Redio Vision na Kasibante FM za Manispaa ya Bukoba.
Kama Unataka ufafanuzi zaidi juu ya redio hiyo GONGA HAPA.
Source:- Harakatinews
No comments:
Post a Comment