 |
|
Askari wa
usalama barabarani ,Moses Alphage,akiondoka zake kwa mwendo wa kikakamavu mara
baada ya kukabidhiwa cheti na pesa taslimu kiasi cha zaidi ya shilingi milioni
2 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova.
|
 |
|
Kamanda wa
Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova(watatu toka kushoto) akiwa
kwenye picha ya pamoja na Askari wa usalama barabarani ,Moses Alphage(wapilikushoto)aliyeibu
ka kidedea kwenye program ya kuhamasisha na kupongeza utendaji kazi wa askari
wa usalam barabarani jijini Dar es salaam iliyonedeshwa na kituo hicho cha
Redio na kujishindia Sh 2 Milioni. Wa kwanza kushoto ni Mfanyakazi wa Vodacom
Tanzania Albert Maneno na kulia ni mtangazaji wa Clouds Said Mohamed maarufu
Bonge.
|
 |
|
Mfanyakazi
wa Idara ya Masoko wa Kampuni ya Vodacom Albert Maneno (wa tatu kushoto)
akiongea kabla ya kukabidhi Sh. 2 milioni kwa askari wa kikosi cha Usalama
Barabarani Moses Alphage (wa kwanza kushoto) aliyeibuka kidedea katika program
ya kuibua hamasa ya kazi kwa askari hao jijini Dar es Salaam iliyoendeshwa na
kituo cha Redio Clouds FM. Fedha hizo zimetolewa na wafanyakazi wa Vodacom
pamoja na wananchi mbalimbali walioguswa na programu hiyo. Wa kwanza kulia ni
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova.
|
 |
|
Kamanda wa
Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova akimkabidhi Askari wa
usalama barabarani ,Moses Alphage fedha taslimu Sh. Milioni 2 zilizochangwa na
wafanyakazi wa Vodacom Tanzania na wasikilizaji wa kituo cha Redio Clouds FM
kupitia program ya kuhamasisha na kupongeza utendaji kazi wa askari wa usalam
barabarani jijini dar es salaam iliyonedeshwa na kituo hicho cha Redio.
|
- Askari
huyu amekuwa akijituma vilivyo pale darajani Mlalakuwa, Kawe
- Anadaiwa
kuwa hakimbii mvua, yuko mapema asubuhi, yuko usiku na hachoki!
Habari:-Kwa
hisani ya wavuti/jf
No comments:
Post a Comment