![]() |
|
Daraja la
Mtama linalounganisha barabara kati ya Lindi na Newala likiwa limekatika jana
kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini.
Picha hii na Ahmed Abdulaziz.
|
Mvua kubwa
zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, zimeleta adha kubwa, huku baadhi
ya wakazi wakilazimika kuhama baada ya makazi yao kukumbwa na mafuriko.
Aisha sehemu mbalimbali jijini March 28,2014,zilikumbwa na mafuriko makubwa, huku
baadhi ya nyumba kuta zake zikiwa chini baada ya kuzidiwa na maji.
|
Wakazi wa
Jangwani karibu na uwanja wa klabu ya Yanga wakiwa wamekaa juu ya paa la nyumba
kukwepa mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea nchini.
|
|
Muonekano wa
nyumba pamoja na njia ndogo ndogo zikiwa zimejaa maji.
|








No comments:
Post a Comment