....kwanini
Wanamuziki wa Tanzania Tunashindwa kubadilika... mbona mi nahangaika na muziki
wangu kimpango wangu... Mnasema nyie ndio mnaojua kuimba mie sijui
"sinatatizo"... Mnasema nyie ndio wenye sauti nzuri yangu mbaya
"Sina tatizo"... sasa mbona tena bado mnanifatilia na kutokujua
kwangu... Nafkiri ni vyema mkaanza kutumia ujuzi wenu kukuza sanaa ya nchi yetu
na kuleta heshima na maendeleo nchini, kuliko kupika majungu..... Watu wanataka
kazi"
HII NDIYO
STATUS YA KALA JEREMIAH ALIYOWEKA FACEBOOK IKIMCHAFUA DIAMOND NA KUMSIFIA ALLY
KIBA..!! SOMA HAPA.
![]() |
Kwa kitu
ambacho kinaonekana si cha kawaida kwa Kala Jeremiah kuandika status kali ikiwa
kama inamchafua Diamond na kumsifia Ally Kiba kwa kile kilichosemekana kuwa
Ally Kiba kakopa pesa ili kumalizia ujenzi wa nyumba aliyokuwa anajenga.
|
No comments:
Post a Comment