Taswira ya Basi llilivyoacha njia katika mteremko wa Sekenke mkoani Singida. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, January 05, 2014

Taswira ya Basi llilivyoacha njia katika mteremko wa Sekenke mkoani Singida.

Muonekano wa Basi la kampuni ya  Ally’s  lililokuwa likitoka Mkoani Arusha kwenda Jijini Mwanza likiwa limeacha njia na kuingia kwenye mteremko wa mlima Sekenge mkoani Singida.


Kwa mujibu wa taarifa zilizopo ni mwamba Mfumo wa Breki ulishindwa kufanya kazi na kulisababisha kuingia huko bondeni ... Watu wote wametoka Salama.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad