Cheki Taswira ya Ajali ya Msanii Fally Ipupa akinusulika kufa baada ya kupata ajali mbaya ya gari. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, January 09, 2014

Cheki Taswira ya Ajali ya Msanii Fally Ipupa akinusulika kufa baada ya kupata ajali mbaya ya gari.

Msanii maarufu nchini Congo Fally Ipupa amenusulika kufa baada ya kupata ajali mbaya ya gari majira ya usiku wa tarehe 7/1/2014, Hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo.


Ila kuna mama ambae unamuona kwenye picha hapo chini aliumia vibaya sana na kukimbizwa hoptitali ambapo anapata matibabu mpaka sasa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad