Hii ndio Taswira ya Mapokezi Makubwa ya Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa wilayani Kahama . - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, December 05, 2013

Hii ndio Taswira ya Mapokezi Makubwa ya Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa wilayani Kahama .

Katibu mkuu  wa  Chadema  Dr  Wilbroad Slaa akiwahutubia  wananchi  wa Kahama mara  baada ya  kuwasili mjini hapo kwa  ziara  yake  ya  kichama jana(Desemba 04,2013).

Dr Slaa akisalimiana na  wananchi waliofika  kumpokea mjini Kahama  jana. leo Desemba 5, atakuwa Wilaya ya Kakonko, Jimbo la Buyungu na Desemba 6, atakuwa Jimbo la Muhambwe.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad